8- ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad al-Faqiyh ametuhadithia: Abu Umayyah at-Twartuusiy amenihadithia: Mu´aawiyah bin ´Amr ametuhadithia: Zaa-idah ametuhadithia: Ibraahiym al-Hajariy ametuhadithia, kutoka kwa Abul-Ahwnas, kutoka kwa ´Abdullaah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huifungua milango ya mbingu kisha anashuka katika mbingu ya dunia, halafu anaikunjua mikono Yake na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Hakuna mja mwenye kuniomba nimpe?”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 98-99
- Imechapishwa: 15/01/2018
8- ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad al-Faqiyh ametuhadithia: Abu Umayyah at-Twartuusiy amenihadithia: Mu´aawiyah bin ´Amr ametuhadithia: Zaa-idah ametuhadithia: Ibraahiym al-Hajariy ametuhadithia, kutoka kwa Abul-Ahwnas, kutoka kwa ´Abdullaah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huifungua milango ya mbingu kisha anashuka katika mbingu ya dunia, halafu anaikunjua mikono Yake na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Hakuna mja mwenye kuniomba nimpe?”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 98-99
Imechapishwa: 15/01/2018
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abdullaah-bin-masuud/