Swali: Baadhi ya wanawake wanaenda katika maduka ya mavazi na kununua mavazi ya sherehe. Baada ya sherehe wanayaosha na kuyarudisha dukani kama kwamba hayakuoshwa. Je, inajuzu?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi isipokuwa ikiwa mmliki wa duka anaruhusu kufanya hivo. Ikiwa mmliki wa duka anaruhusu kufanya hivo ni sawa. Vinginevyo haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 25/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket