Swali: Je, kupangusa shingo katika wudhuu´ si jambo linalopendekezwa kwa sababu ni kufanana na mayahudi kutokana na nilivyosikia?
Jibu: Kupaka shingo si jambo linalopendekezwa wala haikuwekwa katika Shari´ah. Kupaka kunakuwa kwa kichwa na masikio tu, kama ilivyojulisha Qur-aan na Sunnah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/102)
- Imechapishwa: 19/02/2026
Swali: Je, kupangusa shingo katika wudhuu´ si jambo linalopendekezwa kwa sababu ni kufanana na mayahudi kutokana na nilivyosikia?
Jibu: Kupaka shingo si jambo linalopendekezwa wala haikuwekwa katika Shari´ah. Kupaka kunakuwa kwa kichwa na masikio tu, kama ilivyojulisha Qur-aan na Sunnah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/102)
Imechapishwa: 19/02/2026
https://firqatunnajia.com/kupangusa-shingo-wakati-wa-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket