Swali: Kuna imamu wa msikiti amenambia kwamba kuosha nywele mchana wa Ramadhaan kunaharibu swawm. Sababu ya hilo ni kuwa mizizi ya nywele inaingiza maji. Unajibu vipi?
Jibu: Kuosha nywele mchana wa Ramadhaan wakati mtu amefunga hakufunguzi. Wala maji hayaingii ndani ya kichwa. Maneno haya ni ya makosa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akioga hali ya kuwa amefunga.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/254)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Kuna imamu wa msikiti amenambia kwamba kuosha nywele mchana wa Ramadhaan kunaharibu swawm. Sababu ya hilo ni kuwa mizizi ya nywele inaingiza maji. Unajibu vipi?
Jibu: Kuosha nywele mchana wa Ramadhaan wakati mtu amefunga hakufunguzi. Wala maji hayaingii ndani ya kichwa. Maneno haya ni ya makosa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akioga hali ya kuwa amefunga.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/254)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuosha-nywele-kichwani-kunaharibu-swawm/