Swali: Kuna imamu wa msikiti amenambia kwamba kuosha nywele mchana wa Ramadhaan kunaharibu swawm. Sababu ya hilo ni kuwa mizizi ya nywele inaingiza maji. Unajibu vipi?
Jibu: Kuosha nywele mchana wa Ramadhaan wakati mtu amefunga hakufunguzi. Wala maji hayaingii ndani ya kichwa. Maneno haya ni ya makosa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akioga hali ya kuwa amefunga.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/254)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket