Swali: Vipi kuomba du´aa kwa haja ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ni katika njia za shirki. Haijuzu. Haijuzu kusema:
”Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kwa jaha ya Mtume.”
”Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kupitia Mtume wako, kupitia waja wema au kwa jaha ya waja wema.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24590/هل-يجوز-التوسل-بجاه-النبي-عليه-الصلاة-والسلام
- Imechapishwa: 08/11/2024
Swali: Vipi kuomba du´aa kwa haja ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ni katika njia za shirki. Haijuzu. Haijuzu kusema:
”Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kwa jaha ya Mtume.”
”Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kupitia Mtume wako, kupitia waja wema au kwa jaha ya waja wema.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24590/هل-يجوز-التوسل-بجاه-النبي-عليه-الصلاة-والسلام
Imechapishwa: 08/11/2024
https://firqatunnajia.com/kuomba-kwa-jaha-ni-njia-inayopelekea-katika-shirki/