Swali: Safari yako kwenda ar-Riyaadh ilikuwa baada ya wewe kuoa?
Jibu: Kuoa kuna mafungamano yepi na masomo?
Swali: Watu wengi wanaona kuwa kuoa ni kizuizi cha masomo?
Jibu: Kamwe. Haizuii masomo. Kuoa hakuzuii masomo. Bali huenda ni jambo likamsaidia mtu na kusoma kwa sababu mwanaume anapata utulivu na anakuwa na uhusiano na mke wake. Anaacha mambo ya safari na mengine yenye kuzuia kusoma.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Siyratiy adh-Dhaatiyyah http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15901
- Imechapishwa: 27/08/2020
Swali: Safari yako kwenda ar-Riyaadh ilikuwa baada ya wewe kuoa?
Jibu: Kuoa kuna mafungamano yepi na masomo?
Swali: Watu wengi wanaona kuwa kuoa ni kizuizi cha masomo?
Jibu: Kamwe. Haizuii masomo. Kuoa hakuzuii masomo. Bali huenda ni jambo likamsaidia mtu na kusoma kwa sababu mwanaume anapata utulivu na anakuwa na uhusiano na mke wake. Anaacha mambo ya safari na mengine yenye kuzuia kusoma.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Siyratiy adh-Dhaatiyyah http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15901
Imechapishwa: 27/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuoa-hakumzuii-mtu-na-kusoma/