Swali: Je, kunyoa nywele na kukata kucha mchana wa Ramadhaan kunaharibu swawm?
Jibu: Kunyoa nywele, kukata kucha, kunyofoa nywele za kwapani na kunyoa nywele za sehemu za siri yote hayo hayamfunguzi mfungaji.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/256)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Je, kunyoa nywele na kukata kucha mchana wa Ramadhaan kunaharibu swawm?
Jibu: Kunyoa nywele, kukata kucha, kunyofoa nywele za kwapani na kunyoa nywele za sehemu za siri yote hayo hayamfunguzi mfungaji.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/256)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/kunyoa-nywele-na-kukata-kucha-kunaharibu-swawm/