Swali: Je, kuna dalili ya kunyanyua mikono pamoja na kila Takbiyr katika swalah ya jeneza?
Jibu: Ndio, haya ni matendo ya Maswahabah na ni miongoni mwa matendo ya as-Salaf as-Swaalih. Ni miongoni mwa adabu za Takbiyr. Kumethibiti kunyanyua mikono katika swalah ya faradhi na swalah ya sunnah ambapo swalah hii ni mfano wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 18/08/2019
Swali: Je, kuna dalili ya kunyanyua mikono pamoja na kila Takbiyr katika swalah ya jeneza?
Jibu: Ndio, haya ni matendo ya Maswahabah na ni miongoni mwa matendo ya as-Salaf as-Swaalih. Ni miongoni mwa adabu za Takbiyr. Kumethibiti kunyanyua mikono katika swalah ya faradhi na swalah ya sunnah ambapo swalah hii ni mfano wake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 18/08/2019
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mikono-wakati-wa-kila-takbiyr/