Swali: Je, inajuzu kununua vitabu ambavyo vina usengenyaji na Ruduud kwa baadhi ya wanachuoni na wanafunzi?
Jibu: Ukinunua ili uvipige Radd na uponde yaliyomo, hili ni jambo zuri. Ama kuvinunua na kuviweka kwako na wala hauvipigi Radd, hili halijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kununua vitabu ambavyo vina usengenyaji na Ruduud kwa baadhi ya wanachuoni na wanafunzi?
Jibu: Ukinunua ili uvipige Radd na uponde yaliyomo, hili ni jambo zuri. Ama kuvinunua na kuviweka kwako na wala hauvipigi Radd, hili halijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kununua-vitabu-vya-upotevu-ili-vikae-nyumbani-tu/