Swali: Kuna mtu anataka kuhiji na yuko na pesa ya kununua nyumba. Je, atangulize hajj au kununua nyumba?
Jibu: Atangulize mahitaji yake ya msingi. Nyumba ni katika mahitaji yake ya kimsingi. Anahitaji nyumba. Kwa hivyo anunue nyumba. Baada ya hapo kile chenye kuzidi mahitaji yake ndio ahiji nacho.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 14/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)