Kunapokuwa uzito katika kuitikia mwaliko

Swali: Je, ni lazima kwa mtu aliyealikwa ambaye yuko ar-Riyaadh au Jeddah kuitikia mwaliko?

Jibu: Udhahiri ni kwamba ikiwa kuna uzito sio lazima.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23859/هل-يجب-اجابة-الدعوة-اذا-كانت-هناك-مشقة
  • Imechapishwa: 20/05/2024