Swali: Kuna siku maalum za kula katika safari?
Jibu: Hakuna siku maalum. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoufungua mji wa Makkah ilikuwa katika Ramadhaan siku ishirini zilizobaki na hakufunga mwezi uliobaki. Hayo yamesihi katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) katika yale yaliyopokea al-Bukhaariy. Baada ya hapo kukabaki ima siku tisa au kumi. Akabaki (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Makkah siku ishirini na tisa akifupisha swalah na akila katika Ramadhaan.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/133)
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Kuna siku maalum za kula katika safari?
Jibu: Hakuna siku maalum. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoufungua mji wa Makkah ilikuwa katika Ramadhaan siku ishirini zilizobaki na hakufunga mwezi uliobaki. Hayo yamesihi katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) katika yale yaliyopokea al-Bukhaariy. Baada ya hapo kukabaki ima siku tisa au kumi. Akabaki (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Makkah siku ishirini na tisa akifupisha swalah na akila katika Ramadhaan.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/133)
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuna-siku-maalum-za-kula-katika-safari/