Swali: Je, kuna kigezo cha kuficha aibu ya muislamu?
Jibu: Kama hakudhihirisha maasi yake. Ama yule anayedhihirisha waziwazi maasi, huyo hasitiriwi:
”Ummah wangu wote ni wenye kusamehewa isipokuwa wale kujidhihirisha kwa maasi.”
Muda wa kuwa amejificha usimuanike.
Swali: Je, asitiriwe ikiwa mtu anajulikana kumcha Allaah lakini akatumbukia katika maasi?
Jibu: Ndiyo, asitiriwe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31168/ما-ضابط-الستر-على-المسلم-العاصي
- Imechapishwa: 09/10/2025
Swali: Je, kuna kigezo cha kuficha aibu ya muislamu?
Jibu: Kama hakudhihirisha maasi yake. Ama yule anayedhihirisha waziwazi maasi, huyo hasitiriwi:
”Ummah wangu wote ni wenye kusamehewa isipokuwa wale kujidhihirisha kwa maasi.”
Muda wa kuwa amejificha usimuanike.
Swali: Je, asitiriwe ikiwa mtu anajulikana kumcha Allaah lakini akatumbukia katika maasi?
Jibu: Ndiyo, asitiriwe.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31168/ما-ضابط-الستر-على-المسلم-العاصي
Imechapishwa: 09/10/2025
https://firqatunnajia.com/kuna-kigezo-gani-cha-kuficha-aibu-ya-muislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket