Swali: Maiti akifa na baada ya kumuogesha na kumvisha sanda wanakuja ndugu na marafiki zake kumsalimia na kumbusu. Je, kitendo hicho kina msingi katika Shari´ah?
Jibu: Hakuna ubaya. Ni aina fulani ya kumuaga na kumuombea du´aa. Hakuna neno. Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokufa, Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) aliingia ndani mwake, akamfunua uso wake na akambusu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
- Imechapishwa: 25/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)