Swali: Mimi nina wasichana. Kuna mtu amekuja kumposa mdogo kabla ya mkubwa. Je, nimuozeshe mdogo kabla ya mkubwa?
Jibu: Haya ni kutokana na vile mtavyoona kutegemea na manufaa. Ikiwa yule mkubwa hatoona vibaya, basi hakuna neno kumuozesha yule mdogo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 02/12/2017
Swali: Mimi nina wasichana. Kuna mtu amekuja kumposa mdogo kabla ya mkubwa. Je, nimuozeshe mdogo kabla ya mkubwa?
Jibu: Haya ni kutokana na vile mtavyoona kutegemea na manufaa. Ikiwa yule mkubwa hatoona vibaya, basi hakuna neno kumuozesha yule mdogo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 02/12/2017
https://firqatunnajia.com/kumuozesha-msichana-mdogo-kabla-ya-mkubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
