Swali: Kuhusu yule mwenye kufa kwa maradhi haya ya corona anaoshwa kwa sababu kuna khatari kubwa ya maambukizi?
Jibu: Kumgusa ni lazima wamguse kama pale watapombeba kumpeleka makaburini. Ugusaji ni lazima upatikane. Wakichelea kuambukizwa kwa sababu ya kumuosha, watatakiwa kumfanyia Tayammum.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=RGdGhrsp6Lo
- Imechapishwa: 01/04/2020
Swali: Kuhusu yule mwenye kufa kwa maradhi haya ya corona anaoshwa kwa sababu kuna khatari kubwa ya maambukizi?
Jibu: Kumgusa ni lazima wamguse kama pale watapombeba kumpeleka makaburini. Ugusaji ni lazima upatikane. Wakichelea kuambukizwa kwa sababu ya kumuosha, watatakiwa kumfanyia Tayammum.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=RGdGhrsp6Lo
Imechapishwa: 01/04/2020
https://firqatunnajia.com/kumuosha-maiti-aliyekufa-kwa-ugonjwa-wa-corona/