Swali 818: Ni ipi hukumu ya kumuoa mwanamke wa Ahl-ul-Kitaab ikiwa baba yake sio Ahl-ul-Kitaab?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba haikushurutishwa kufaa kumuoa mwanamke wa Ahl-ul-Kitaab mpaka baba yake awe Ahl-ul-Kitaab. Kinachozingatiwa ni yeye mwanamke mwenyewe. Isitoshe hili ndio chaguo la Shaykh Taqiyy-ud-Diyn [Ibn Taymiyyah] (Rahimahu Allaah).
- Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 323
- Imechapishwa: 21/07/2019
Swali 818: Ni ipi hukumu ya kumuoa mwanamke wa Ahl-ul-Kitaab ikiwa baba yake sio Ahl-ul-Kitaab?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba haikushurutishwa kufaa kumuoa mwanamke wa Ahl-ul-Kitaab mpaka baba yake awe Ahl-ul-Kitaab. Kinachozingatiwa ni yeye mwanamke mwenyewe. Isitoshe hili ndio chaguo la Shaykh Taqiyy-ud-Diyn [Ibn Taymiyyah] (Rahimahu Allaah).
Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 323
Imechapishwa: 21/07/2019
https://firqatunnajia.com/kumuoa-mwanamke-wa-ahl-ul-kitaab-ambaye-baba-yake-ni-mpagani/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket