Swali: Mwanaume akimposa mwanamke na familia yake ikamwambia kuwa wataulizia kuhusu hali yake inafaa kwa yeyote kutangulia na kuposa juu ya posa yake?
Jibu: Hapana, mpaka baada ya kukataliwa. Maadamu tayari ameshajua kuwa amemchumbia asimtangulie mpaka baada ya kujua kuwa amekataliwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Swali: Mwanaume akimposa mwanamke na familia yake ikamwambia kuwa wataulizia kuhusu hali yake inafaa kwa yeyote kutangulia na kuposa juu ya posa yake?
Jibu: Hapana, mpaka baada ya kukataliwa. Maadamu tayari ameshajua kuwa amemchumbia asimtangulie mpaka baada ya kujua kuwa amekataliwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
Imechapishwa: 13/08/2017
https://firqatunnajia.com/kumtangulia-ndugu-yako-kuchumbia-katika-muda-anasubiri-majibu/