Swali: Mwanaume akimposa mwanamke na familia yake ikamwambia kuwa wataulizia kuhusu hali yake inafaa kwa yeyote kutangulia na kuposa juu ya posa yake?
Jibu: Hapana, mpaka baada ya kukataliwa. Maadamu tayari ameshajua kuwa amemchumbia asimtangulie mpaka baada ya kujua kuwa amekataliwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)