Swal 284: Ni ipi hukumu ya mwanamke mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi anapokufa mmoja wao? Inajuzu kuwaswalia ndani ya msikiti?
Jibu: Ndio, inajuzu kukiaminiwa kutochafua msikiti. Kwa sababu hukumu imekatika kwa kufa kwake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 108
- Imechapishwa: 11/10/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)