Swali: Kuna muislamu aliyefariki. Mwili wake utatumwa katika nchi yake ambapo ataoshwa na kuvishwa sanda na huko ndiko ataswaliwa swalah ya jeneza. Je, nimswalie swalah ya jeneza ndani ya ndege kabla hajaoshwa?
Jibu: Hapana. Si sahihi kumswalia maiti mpaka kwanza aoshwe na kuvishwa sanda. Si sahihi kumswalia mpaka kwanza aoshwe na kuvishwa sanda.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Swali: Kuna muislamu aliyefariki. Mwili wake utatumwa katika nchi yake ambapo ataoshwa na kuvishwa sanda na huko ndiko ataswaliwa swalah ya jeneza. Je, nimswalie swalah ya jeneza ndani ya ndege kabla hajaoshwa?
Jibu: Hapana. Si sahihi kumswalia maiti mpaka kwanza aoshwe na kuvishwa sanda. Si sahihi kumswalia mpaka kwanza aoshwe na kuvishwa sanda.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/03/2017
https://firqatunnajia.com/kumswalia-maiti-kabla-ya-kuoshwa-na-kuvishwa-sanda/