Swali 13: Ni ipi hukumu ya kumkopesha mtu anayefanya kazi katika mambo ya haramu pamoja na kujua hali yake?
Jibu: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ
“Saidianeni katika wema na kumcha Allaah na wala msisaidiane katika dhambi na uadui.”[1]
Kwa hivyo usimkopeshe na wala usimsaidie juu ya batili hii.
[1] 05:02
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 63
- Imechapishwa: 16/01/2020
Swali 13: Ni ipi hukumu ya kumkopesha mtu anayefanya kazi katika mambo ya haramu pamoja na kujua hali yake?
Jibu: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
وَتَعَاوَنُوا عَلَى الْبِرِّ وَالتَّقْوَىٰ ۖ وَلَا تَعَاوَنُوا عَلَى الْإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ
“Saidianeni katika wema na kumcha Allaah na wala msisaidiane katika dhambi na uadui.”[1]
Kwa hivyo usimkopeshe na wala usimsaidie juu ya batili hii.
[1] 05:02
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 63
Imechapishwa: 16/01/2020
https://firqatunnajia.com/kumkopesha-mtu-anayetaka-kufanya-kazi-ya-haramu/