Swali: Ni wajibu kwa mtu ambaye anataka kuongeza mke wa pili kumjulisha yule mke wa kwanza juu ya hilo na kumuomba idhini?
Jibu: Hapana. Si lazima amjulishe. Hii ni haki yake. Asimkataze hilo. Hata hivyo ni lazima kwake kufanya uadilifu kati yao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 27/10/2017
Swali: Ni wajibu kwa mtu ambaye anataka kuongeza mke wa pili kumjulisha yule mke wa kwanza juu ya hilo na kumuomba idhini?
Jibu: Hapana. Si lazima amjulishe. Hii ni haki yake. Asimkataze hilo. Hata hivyo ni lazima kwake kufanya uadilifu kati yao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
Imechapishwa: 27/10/2017
https://firqatunnajia.com/kumjulisha-mke-wa-kwanza-juu-ya-kuongeza-mke/