Swali: Bwana mmoja tajiri ana watoto wengi na ndugu yake ambaye ni fakiri. Je, ni wajibu kwake kumhudumia ndugu yake?
Jibu: Matumizi yanaambatana na urathi. Ikiwa kuna kikwazo kinachozuia kurithi… Mtu huyu hawezi kumrithi ndugu yake, na kwa ajili hiyo sio lazima kumhudumia ndugu yake. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَعَلَى الْوَارِثِ مِثْلُ ذَٰلِكَ
”Na juu ya mrithi [wa baba kupata] mfano wa hivyo.”
Bi maana matumizi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 28/06/2024
Swali: Bwana mmoja tajiri ana watoto wengi na ndugu yake ambaye ni fakiri. Je, ni wajibu kwake kumhudumia ndugu yake?
Jibu: Matumizi yanaambatana na urathi. Ikiwa kuna kikwazo kinachozuia kurithi… Mtu huyu hawezi kumrithi ndugu yake, na kwa ajili hiyo sio lazima kumhudumia ndugu yake. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَعَلَى الْوَارِثِ مِثْلُ ذَٰلِكَ
”Na juu ya mrithi [wa baba kupata] mfano wa hivyo.”
Bi maana matumizi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 28/06/2024
https://firqatunnajia.com/kumhudumia-ndugu-yako/