Swali: Je, inajuzu kumbusu maiti kabla ya kumzika?
Jibu: Hakuna neno. Imethibiti kwamba wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipofariki Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) alikuja akamfunua Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akambusu:
“Uko mzuri ulipokuwa hai na katika hali ya kufa.”
Kifo ambacho Allaah amekuandikia kimekwisha. Abu Bakr as-Swiddiyq, ambaye ndiye mbora wa Ummah baada ya Mtume wake, alimbusu Mtume baada ya kifo chake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/64/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%AA%D9%82%D8%A8%D9%8A%D9%84-%D8%A7%D9%84%D9%85%D9%8A%D8%AA
- Imechapishwa: 20/12/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket