Swali: Kulisindikiza jeneza kunakuwa kwa mbele yake ikiwa ni kwa kutembea na nyuma yake ikiwa ni kwa kupanda juu ya kipando?
Jibu: Wanachuoni wametofautiana juu ya haya. Sahihi ni kwamba hakuna neno kwa yule mwenye kutembea mbele au nyuma yake. Muhimu ni kwamba aliandame mpaka azikwe.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
- Imechapishwa: 03/01/2018
Swali: Kulisindikiza jeneza kunakuwa kwa mbele yake ikiwa ni kwa kutembea na nyuma yake ikiwa ni kwa kupanda juu ya kipando?
Jibu: Wanachuoni wametofautiana juu ya haya. Sahihi ni kwamba hakuna neno kwa yule mwenye kutembea mbele au nyuma yake. Muhimu ni kwamba aliandame mpaka azikwe.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
Imechapishwa: 03/01/2018
https://firqatunnajia.com/kulisindikiza-jeneza-kwa-mbele-au-kwa-nyuma/