Swali: Ni upi wakati wa usingizi wa mchana; ni kabla ya swalah ya Dhuhr au baada ya swalah ya Dhuhr?
Jibu: Ni baada ya swalah ya Dhuhr na kabla yake. Yote mawili yanafaa. Inafaa kulala mchana kabla ya swalah ya Dhuhr au baada yake. Hakuna ubaya. Jambo ni lenye wasaa ndani yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 22/09/2018
Swali: Ni upi wakati wa usingizi wa mchana; ni kabla ya swalah ya Dhuhr au baada ya swalah ya Dhuhr?
Jibu: Ni baada ya swalah ya Dhuhr na kabla yake. Yote mawili yanafaa. Inafaa kulala mchana kabla ya swalah ya Dhuhr au baada yake. Hakuna ubaya. Jambo ni lenye wasaa ndani yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 22/09/2018
https://firqatunnajia.com/kulala-mchana-kabla-au-baada-ya-dhuhr/