Swali 718: Mwalimu wa wavulana wadogo hufanya makosa katika usomaji wake wakati wa kusoma kwake Qur-aan kwa madhumuni ya kufundisha. Je, inajuzu?
Jibu: Hapana. Bali anawafundisha kwa kutumia mfumo mwingine. Kinachodhihiri ni kwamba haijuzu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 251
- Imechapishwa: 05/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 718: Mwalimu wa wavulana wadogo hufanya makosa katika usomaji wake wakati wa kusoma kwake Qur-aan kwa madhumuni ya kufundisha. Je, inajuzu?
Jibu: Hapana. Bali anawafundisha kwa kutumia mfumo mwingine. Kinachodhihiri ni kwamba haijuzu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 251
Imechapishwa: 05/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kukusudia-kufanya-makosa-wakati-wa-kufundisha-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket