Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amesahau kusema “Bismi Allaah” kabla ya kutawadha na akakumbuka katikati ya wudhuu´ au baada yake?
Jibu: Tasmiyah sio wajibu. Hadiyth zilizopokelewa juu yake ni dhaifu. Ibn Hajar (Rahimahu Allaah) amenukuu kutoka kwa Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) ya kwamba amesema katika kitabu chake “Buluugh-ul-Maraam”:
“Hakukuthibiti katika mlango huu kitu.”
Kujengea juu ya hili endapo mtu atasema ndio bora zaidi. Vinginevyo hakuna neno. Mtu akisahau kusema mwanzoni mwa wudhuu´ aseme hivo pale atapokumbuka hata kama itakuwa ni katikati ya wudhuu´. Akimaliza kutawadha na asikumbuke hana juu yake kitu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (37) http://binothaimeen.net/content/825
- Imechapishwa: 05/03/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amesahau kusema “Bismi Allaah” kabla ya kutawadha na akakumbuka katikati ya wudhuu´ au baada yake?
Jibu: Tasmiyah sio wajibu. Hadiyth zilizopokelewa juu yake ni dhaifu. Ibn Hajar (Rahimahu Allaah) amenukuu kutoka kwa Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) ya kwamba amesema katika kitabu chake “Buluugh-ul-Maraam”:
“Hakukuthibiti katika mlango huu kitu.”
Kujengea juu ya hili endapo mtu atasema ndio bora zaidi. Vinginevyo hakuna neno. Mtu akisahau kusema mwanzoni mwa wudhuu´ aseme hivo pale atapokumbuka hata kama itakuwa ni katikati ya wudhuu´. Akimaliza kutawadha na asikumbuke hana juu yake kitu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (37) http://binothaimeen.net/content/825
Imechapishwa: 05/03/2018
https://firqatunnajia.com/kukumbuka-tasmiyah-katikati-ya-wudhuu-au-baadaye/