Swali: Baadhi ya walinganizi na watu kwenye vyombo vya mawasiliano wanamkosoa Ibn Baaz na Ibn ´Uthaymiyn na fatwa zao. Muislamu achukue msimamo gani juu ya hilo?
Jibu: Wanasihi. Wabainishie kuwa kitendo hicho ni haramu iliokubwa. Hapana shaka kwamba haijuzu kumponda muislamu hata ambaye ni wa kawaida tu. Kumponda mwanachuoni ni aula zaidi kutokufaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 27/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)