Swali: Inajuzu kwa mtu kuondosha au kupunguza baadhi ya nyusi zikiwa ndefu kiasi kwamba zinafunika macho?
Jibu: Ikiwa zinamuudhi na zinafika mpaka kwenye macho, basi aondoshe maudhi pasi na shaka. Ama zikiwa [zina urefu wa] kawaida, asiziguse. Kwa kuwa itakuwa ni katika kuchonga nyusi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 10/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket