Swali: Kutumia manukato yaliyo kwenye chupa yanamfunguza mfungaji akiyapaka mikononi mwake, usoni mwake, mwilini mwake na nguoni mwake?
Jibu: Kutumia manukato kwa njia zilizotajwa hakumfunguzi mfungaji.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/255)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Kutumia manukato yaliyo kwenye chupa yanamfunguza mfungaji akiyapaka mikononi mwake, usoni mwake, mwilini mwake na nguoni mwake?
Jibu: Kutumia manukato kwa njia zilizotajwa hakumfunguzi mfungaji.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/255)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/kujitia-manukato-kunamfunguza-mfungaji/