Swali: Baadhi ya watu huenda wakaenda kwenye kaburi lililochimbwa kisha wakajilaza ndani yake. Je, kitendo hich kina msingi?
Jibu: Hapana, halina msingi. Kulala ndani ya makaburi hakuna msingi wowote.
Swali: Kitendo hicho hufanya nyoyo zikalainika?
Jibu: Hapana, hili halina msingi wowote.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28812/حكم-الاستلقاء-في-القبر-لترقيق-القلوب
- Imechapishwa: 25/04/2025
Swali: Baadhi ya watu huenda wakaenda kwenye kaburi lililochimbwa kisha wakajilaza ndani yake. Je, kitendo hich kina msingi?
Jibu: Hapana, halina msingi. Kulala ndani ya makaburi hakuna msingi wowote.
Swali: Kitendo hicho hufanya nyoyo zikalainika?
Jibu: Hapana, hili halina msingi wowote.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28812/حكم-الاستلقاء-في-القبر-لترقيق-القلوب
Imechapishwa: 25/04/2025
https://firqatunnajia.com/kujilaza-ndani-ya-kaburi-ili-kulainisha-moyo/