Swali: Nafanya kazi ya kukusanya swadaqah na zakaah kutoka kwa watenda wema. Baadhi ya nyakati huhitaji kukunua kitu kutoka katika pesa hizi. Je, inafaa kwangu kujiazima nazo kisha baadaye nizirejeshe?
Jibu: Hapana, haijuzu kwako kufanya hivo. Hii ni amana mikononi mwako. Usichukue chochote kutoka katika amana.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Nafanya kazi ya kukusanya swadaqah na zakaah kutoka kwa watenda wema. Baadhi ya nyakati huhitaji kukunua kitu kutoka katika pesa hizi. Je, inafaa kwangu kujiazima nazo kisha baadaye nizirejeshe?
Jibu: Hapana, haijuzu kwako kufanya hivo. Hii ni amana mikononi mwako. Usichukue chochote kutoka katika amana.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/kujiazima-kutoka-katika-zakaah/