Swali: Ni ipi hukumu ya Kiislamu kwa anayejenga nyumba katika makaburi?
Jibu: Makaburi hayajengwi ndani yake. Bali inapaswa kuondoa majengo yoyote yaliyopo humo. Ni jukumu la serikali, viongozi wa manispaa, taasisi za hisba na viongozi wa maeneo kuhakikisha jambo hili. Makaburi yanapaswa kuheshimiwa, kulindwa na kuwekwa uzio. Hayajengwi ndani yake nyumba, maduka au chochote kingine. Yabaki kwa wenye makaburi, kwani huo ndio makazi yao na sehemu yao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1142/حكم-بناء-البيوت-في-المقابر
- Imechapishwa: 03/01/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya Kiislamu kwa anayejenga nyumba katika makaburi?
Jibu: Makaburi hayajengwi ndani yake. Bali inapaswa kuondoa majengo yoyote yaliyopo humo. Ni jukumu la serikali, viongozi wa manispaa, taasisi za hisba na viongozi wa maeneo kuhakikisha jambo hili. Makaburi yanapaswa kuheshimiwa, kulindwa na kuwekwa uzio. Hayajengwi ndani yake nyumba, maduka au chochote kingine. Yabaki kwa wenye makaburi, kwani huo ndio makazi yao na sehemu yao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1142/حكم-بناء-البيوت-في-المقابر
Imechapishwa: 03/01/2026
https://firqatunnajia.com/kujenga-nyumba-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket