Swali: Salamu ambayo imeandikwa kwa njia ya ujumbe wa kwenye gazeti au ujumbe wa kwenye simu.
Jibu: Itikia na wewe kwa kaundika kwa kuwa ukimuitikia hatokusikia. Lakini akikutolea salamu kwa njia ya kuandika na wewe muitikie kwa njia ya kumuandikia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-24_0.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Salamu ambayo imeandikwa kwa njia ya ujumbe wa kwenye gazeti au ujumbe wa kwenye simu.
Jibu: Itikia na wewe kwa kaundika kwa kuwa ukimuitikia hatokusikia. Lakini akikutolea salamu kwa njia ya kuandika na wewe muitikie kwa njia ya kumuandikia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-24_0.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuitikia-salamu-ya-kwenye-meseji-ya-simu/