Swali: Baadhi ya wafanya matabano wanaandika Qur-aan kwenye makaratasi kisha wanayaweka makaratasi hayo ndani ya maji mpaka yale maandishi yanapotea. Halafu wanamuamrisha mgonjwa kuoga maji hayo. Je, inajuzu?
Jibu: Ndio, hakuna neno. Anaweza kuyanywa na kuyaoga. Ni katika kujitibu na aina moja wapo ya matabano. Hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
- Imechapishwa: 29/07/2017
Swali: Baadhi ya wafanya matabano wanaandika Qur-aan kwenye makaratasi kisha wanayaweka makaratasi hayo ndani ya maji mpaka yale maandishi yanapotea. Halafu wanamuamrisha mgonjwa kuoga maji hayo. Je, inajuzu?
Jibu: Ndio, hakuna neno. Anaweza kuyanywa na kuyaoga. Ni katika kujitibu na aina moja wapo ya matabano. Hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
Imechapishwa: 29/07/2017
https://firqatunnajia.com/kuitia-qur-aan-kwenye-maji/