Swali: Wakati wa majira ya baridi wakati fulani kabla ya kutawadha au kuoga tunaacha maji yabubuje kidogo ili yaje maji yenye moto. Je, tunapata dhambi? Je, inazingatiwa ni israfu?
Jibu: Hapana. Hili ni kutokana na udhuru. Unafungua ili yaondoke maji ya baridi na yaje maji ya moto hakuna neno kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 31/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)