Swali: Inajuzu kwa muislamu mwanaume au mwanamke kuoa au mwanamke wa Kiislamu kuolewa na mchawi?
Jibu: Hapana, mwanamke asiolewe na mchawi na wala mwanaume asioe mchawi. Wachawi wanatakiwa kukatwa na kuwatenga mbali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Inajuzu kwa muislamu mwanaume au mwanamke kuoa au mwanamke wa Kiislamu kuolewa na mchawi?
Jibu: Hapana, mwanamke asiolewe na mchawi na wala mwanaume asioe mchawi. Wachawi wanatakiwa kukatwa na kuwatenga mbali.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/kufunga-ndoa-na-mchawi/