Swali: Je, mtu anaweza kufunga siku tatu usiku na mchana katika Ramadhaan na ni badala ya siku thelathini?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo na hakuna mwanachuoni yeyote aliyesema hivo. Kwa sababu Kwa sababu usiku sio wakati kufunga. Mwenye kufanya hivo anazingatiwa ameenda kinyume na Shari´ah, amefanya kitu ambacho hakikuwekwa na Allaah katika Shari´ah na amefungua katika Ramadhaan bila ya udhuru. Jengine ni kwa sababu Allaah amewawajibishia wale ambao ´ibaadah ni zenye kuwawajibikia katika waislamu kufunga Ramadhaan yote. Kwa hiyo kufunga baadhi ya siku hazitoshelezi kutokamana na zengine.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (3089)
- Imechapishwa: 24/04/2020
Swali: Je, mtu anaweza kufunga siku tatu usiku na mchana katika Ramadhaan na ni badala ya siku thelathini?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo na hakuna mwanachuoni yeyote aliyesema hivo. Kwa sababu Kwa sababu usiku sio wakati kufunga. Mwenye kufanya hivo anazingatiwa ameenda kinyume na Shari´ah, amefanya kitu ambacho hakikuwekwa na Allaah katika Shari´ah na amefungua katika Ramadhaan bila ya udhuru. Jengine ni kwa sababu Allaah amewawajibishia wale ambao ´ibaadah ni zenye kuwawajibikia katika waislamu kufunga Ramadhaan yote. Kwa hiyo kufunga baadhi ya siku hazitoshelezi kutokamana na zengine.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (3089)
Imechapishwa: 24/04/2020
https://firqatunnajia.com/kufunga-masaa-24-na-kuzingatia-amefunga-siku-mbili/