27Mwenyezi Mungu alimwambia Mose: “Andika maneno haya, maana kulingana na maneno haya, ninafanya agano nawe na watu wa Israeli.” 28Mose alikaa huko mlimani pamoja na Mwenyezi Mungu siku arubaini, mchana na usiku; hakula chakula wala kunywa maji. Aliandika maneno yote ya agano na zile amri kumi.
- Marejeo: Kutoka 34:27
- Imechapishwa: 31/01/2020
27Mwenyezi Mungu alimwambia Mose: “Andika maneno haya, maana kulingana na maneno haya, ninafanya agano nawe na watu wa Israeli.” 28Mose alikaa huko mlimani pamoja na Mwenyezi Mungu siku arubaini, mchana na usiku; hakula chakula wala kunywa maji. Aliandika maneno yote ya agano na zile amri kumi.
Marejeo: Kutoka 34:27
Imechapishwa: 31/01/2020
https://firqatunnajia.com/kufunga-kwa-mose-katika-biblia-na-akikadhibiwa-torati-mlimani-kama-ilivyo-katika-qur-aan/