Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya zile sehemu za kina Thamuud kuwa ni mahali pa kutalii?
Jibu: Haijuzu kuingia sehemu kama hizo isipokuwa ikiwa kama mtu atalia. Kutokana na Hadiyth yenye kusema:
“Ikiwa hamkulia basi jilizeni.”
Haijuzu kuuingia isipokuwa kwa namna iliyotajwa katika Hadiyth:
“Msiingie nyumba za wale waliodhulumu isipokuwa ikiwa kama mtalia kwa kuchelea msije kupatwa na kilichowapata.”
Kwa ajili hii wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipopita sehemu hiyo aliinamisha kichwa chake na akaharakisha mwendo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 15/05/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya zile sehemu za kina Thamuud kuwa ni mahali pa kutalii?
Jibu: Haijuzu kuingia sehemu kama hizo isipokuwa ikiwa kama mtu atalia. Kutokana na Hadiyth yenye kusema:
“Ikiwa hamkulia basi jilizeni.”
Haijuzu kuuingia isipokuwa kwa namna iliyotajwa katika Hadiyth:
“Msiingie nyumba za wale waliodhulumu isipokuwa ikiwa kama mtalia kwa kuchelea msije kupatwa na kilichowapata.”
Kwa ajili hii wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipopita sehemu hiyo aliinamisha kichwa chake na akaharakisha mwendo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 15/05/2019
https://firqatunnajia.com/kufanya-utalii-sehemu-kama-za-kina-thamuud-aad-na-madyana/