Swali: Ni ipi hukumu ya kuegemea makabati ya misahafu kwa njia ya kwamba msahafu unakuwa nyuma ya mtu?
Jibu: Hakuna kinachonidhihirikia. Hakuna neno – Allaah akitaka. Hakuzingatiwi ni kuutweza msahafu.
- Muhusika: Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 29/05/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuegemea makabati ya misahafu kwa njia ya kwamba msahafu unakuwa nyuma ya mtu?
Jibu: Hakuna kinachonidhihirikia. Hakuna neno – Allaah akitaka. Hakuzingatiwi ni kuutweza msahafu.
Muhusika: Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 29/05/2019
https://firqatunnajia.com/kuegemea-makabati-ya-misahafu/