Swali: Je, ni bora mtu kuendelea kwa kuleta Khutbat-ul-Haajah katika kila Khutbah ya Ijumaa au inakuwa wakati fulani anaileta na wakati mwingine analeta nyinginezo?
Jibu: Ndio, inakuwa namna hiyo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa anadumu nayo katika Khutbah za Ijumaa (zote). Hakuwa anadamu nayo. Wakati fulani alikuwa anaileta na wakati mwingine analeta zingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-16.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, ni bora mtu kuendelea kwa kuleta Khutbat-ul-Haajah katika kila Khutbah ya Ijumaa au inakuwa wakati fulani anaileta na wakati mwingine analeta nyinginezo?
Jibu: Ndio, inakuwa namna hiyo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa anadumu nayo katika Khutbah za Ijumaa (zote). Hakuwa anadamu nayo. Wakati fulani alikuwa anaileta na wakati mwingine analeta zingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-16.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kudumu-kwa-kusoma-khutbat-ul-haajah-katika-khutbah-na-mihadhara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
