Swali 82: Shaykh wetu ´Abdur-Rahmaan al-Barraak alimuuliza Shaykh wetu Ibn Baaz kuhusu kuchinja kwa ajili ya kufika mkuu fulani?

Jibu: Hiyo ni katika shirki kubwa.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 50
  • Imechapishwa: 16/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´