Swali: Je, kuchinja Udhhiyah ni kila mwaka au ni mara moja katika maisha?
Jibu: Sunnah ni kila mwaka. Udhhiyah ni kila mwaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kila mwaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kondoo wawili; mmoja kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wa familia yake na mwingine kwa ajili ya wale wapwekeshaji katika ummah wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18020/هل-يجوز-ان-تخصص-الاضحية-للميت-فقط-بعد-وفاته
- Imechapishwa: 07/06/2024
Swali: Je, kuchinja Udhhiyah ni kila mwaka au ni mara moja katika maisha?
Jibu: Sunnah ni kila mwaka. Udhhiyah ni kila mwaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kila mwaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akichinja kondoo wawili; mmoja kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wa familia yake na mwingine kwa ajili ya wale wapwekeshaji katika ummah wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18020/هل-يجوز-ان-تخصص-الاضحية-للميت-فقط-بعد-وفاته
Imechapishwa: 07/06/2024
https://firqatunnajia.com/kuchinja-udhhiyah-ni-kila-mwaka/