Swali: Mtu akitoa chafya wakati wa Khutbah ya ijumaa na akamhimidi Allaah, je aombewe kwa Allaah rehema?
Jibu: Hata salamu hatakiwi kujibiwa. Akija mtu na kutoa salamu asirudishiwe salamu, pamoja na kwamba kuitikia salamu ni wajibu. Wakati wa Khutbah ya ijumaa asirudishiwe. Tusemeje juu ya kumtakia rehema?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-26-10-1434.mp3
- Imechapishwa: 21/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket