Swali: Ni ipi hukumu ya kubadilisha maeneo katika Sunnah ya Raatibah?
Jibu: Jambo ni lenye wasaa, ni mamoja katika swalah ya faradhi na nyenginezo. Jambo ni lenye wasaa. Hakuna jambo lililothibiti.
Swali: Kwa hivyo sio Sunnah?
Jibu: Hakuna jambo lililothibiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24633/حكم-تغيير-المكان-في-السنة-الراتبة
- Imechapishwa: 16/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)