Swali: Nasoma Qur-aan kwa mmoja wa waalimu. Huwa naweka msitari chini ya baadhi ya maneno kwa kalamu ya risasi. Vilevile huwa naandika baadhi ya hukumu za Tajwiyd pembeni mwa kurasa. Nafanya hivo ili niweze kufahamu na nisisahau. Ni ipi hukumu ya kufanya hivo?
Jibu: Hapana, haitakikani. Inatakikana iwe kwenye karatasi nje ya msahafu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 19/10/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)