Swali: Kipi kinachomlazimu mwenye kuacha kurusha mawe kwenye nguzo tarehe 13 Dhul-Hijjah?
Jibu: Kinachomlazimu ni kutoa fidia. Ikiwa hakurusha mawe kwenye nguzo ni wajibu kwake kutoa fidia. Aidha yuko Makkah atachinja huko au [akiwa nje ya Makkah] atamtumia mtu aliye Makkah kima chake amfanyie hivo mahala pake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Kipi kinachomlazimu mwenye kuacha kurusha mawe kwenye nguzo tarehe 13 Dhul-Hijjah?
Jibu: Kinachomlazimu ni kutoa fidia. Ikiwa hakurusha mawe kwenye nguzo ni wajibu kwake kutoa fidia. Aidha yuko Makkah atachinja huko au [akiwa nje ya Makkah] atamtumia mtu aliye Makkah kima chake amfanyie hivo mahala pake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/kuacha-kurusha-mawe-kwenye-nguzo-tarehe-13-dhul-hijjah/