Swali: Wakati mwanachuoni anapofariki kunafanywa kongamano za kumsifu na semina kwenye msikiti wake. Je, inazingatiwa ni kuomboleza?
Jibu: Haijuzu. Wamuombee du´aa. Ama kufanya msikitini kwake kongamano za kumsifu haijuzu. Huku ni kuvuka mipaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (80) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-17-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2018
Swali: Wakati mwanachuoni anapofariki kunafanywa kongamano za kumsifu na semina kwenye msikiti wake. Je, inazingatiwa ni kuomboleza?
Jibu: Haijuzu. Wamuombee du´aa. Ama kufanya msikitini kwake kongamano za kumsifu haijuzu. Huku ni kuvuka mipaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (80) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-17-7-1439.mp3
Imechapishwa: 10/11/2018
https://firqatunnajia.com/kongamano-za-sifa-kwenye-msikiti-wa-aliyekufa/